ZARI YATILIANA SAINI NA KAMPUNI YA COSTAL BIOTECH LIMITED
Katika kuimarisha mashirikiano ya kiutendaji baina ya serikali na sekta binafsi, TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO ZANZIBAR (ZARI), imeingia makubaliano (MOU) na kampuni ya COSTAL BIOTECH LTD kufanya tafiti mbalimbali zitazosaidia kuongeza thamani katika kilimo. Makubaliano hayo yatahusisha kuzifanyia tafiti shughuli za kilimo, kujenga uwezo, na kutoa aina mpya za mazao (mbegu), ili kuongeza uzalishaji […]
ZARI YATILIANA SAINI NA KAMPUNI YA COSTAL BIOTECH LIMITED Read More »