Mkurugenzi pamoja na Mafisa wa ZARI washiriki maonesho ya siku ya chakula dunia yakifanyika kisiwani Pemba

Baadhi ya Maafisa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar, Kisiwani Pemba, akiwemo Mkurugenzi Mkuu DR MUHAMMED DHAMIR KOMBO, kushiriki Katika ufunguzi wa Maonesho wa Siku ya Chakula duniani pamoja na kuskiliza hotba fupi iliyotolewa na mgeni rasmi ambae ni Makamo wa kwanza wa Raisi Mh Othman Masoud.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Welcome to Zanzibar Agricultural Research Institute!

X
Scroll to Top